AMKENI! Agosti 2014 | Watu Wanawezaje Kuishi kwa Amani?

Watu wengi wangependa kuishi kwa amani na umoja pamoja na majirani wao, lakini wanashindwa kwa sababu ya mitazamo mibaya na kukosana. Tunawezaje kusuluhisha matatizo yetu kwa umoja?

HABARI KUU

Watu Wanawezaje Kuishi kwa Amani?

Ushauri wa Biblia umewasaidia maadui wa zamani kufanya amani na kuwa marafiki.

Kuutazama Ulimwengu

Habari kama vile: kibadala cha vitabu vya shule na vyuo, mafuta yaliyodhaniwa kuwa mazuri yanavyosababisha vifo vinavyotokana na uchafuzi wa hewa, na dini ya Kikristo ambayo wafuasi wake walio wengi hawajawahi kuisoma Biblia.

KUTOKA KWA WASOMAJI WETU

Jinsi ya Kusema Hapana

Vipi mtoto wako akijaribu kukushawishi kwa kununa au kulia-lia?

“Waangalieni kwa Makini Ndege”

Yesu alifundisha nini aliposema hivyo?

TUNAYOJIFUNZA KUTOKANA NA HISTORIA

William Whiston

Alikuwa “msomi maarufu aliyelaaniwa”—kwa nini?

MAONI YA BIBLIA

Ndoto Kutoka kwa Mungu

Je, Mungu anatumia ndoto kuwasiliana nasi leo?

JE, NI KAZI YA UBUNI?

Bawa la Kipepeo Linalofyonza Mwangaza

Mambo mengi yanahusika zaidi ya rangi nyeusi ya mabawa ya vipepeo fulani.

Habari Zaidi Mtandaoni

Je, Tuvunje Urafiki Wetu? (Sehemu ya 1)

Ndoa ni muungano wa kudumu. Kwa hiyo, ikiwa huna uhakika kumhusu mpenzi wako, usipuuze hisia zako!

Vijana Wanazungumza Kuhusu Kutunza Afya

Je, ni vigumu kwako kula vizuri na kufanya mazoezi? Katika video hii vijana fulani wanaeleza mambo ambayo wao hufanya ili kudumisha afya nzuri.

Farao Kadi ya Biblia

Je, Farao wa Misri aliokoka majeshi yake yalipoangamizwa kwenye Bahari Nyekundu?