MNARA WA MLINZI Na. 3 2016 | Mtu Unayempenda Anapokufa

Hakuna anayeweza kuepuka uchungu wa kifo. Tunaweza kufanya nini mtu wa familia au rafiki wa karibu akifa?

HABARI KUU

Mtu Unayempenda Anapokufa

Unawezaje kukabiliana na huzuni? Je, kuna tumaini kwa wapendwa wetu ambao wamekufa?

HABARI KUU

Je, Ni Vibaya Kuhuzunika Unapofiwa?

Namna gani ikiwa wengine wanahisi kwamba unahuzunika kupita kiasi?

HABARI KUU

Jinsi ya Kukabiliana na Huzuni ya Kufiwa

Biblia hutoa mashauri ambayo yamethibitika kuwa yenye faida.

HABARI KUU

Kuwafariji Wanaoomboleza

Huenda hata marafiki wa karibu wakashindwa kufanya mambo muhimu ili kuwasaidia waliofiwa.

HABARI KUU

Wafu Wataishi Tena!

Je, tumaini hilo la Biblia ni hakika?

Je, Wajua?

Baba ya Yosefu alikuwa nani? Ni aina gani za vitambaa na rangi zilizopatikana katika nyakati za Biblia?

BIBLIA HUBADILI MAISHA

Nilijifunza Kujiheshimu na Kuwaheshimu Wanawake

Joseph Ehrenbogen alisoma jambo fulani katika Biblia ambalo lilimsaidia kubadili kabisa maisha yake.

IGENI IMANI YAO

“Mimi Niko Tayari Kwenda”

Zaidi ya kuwa na imani, Rebeka alionyesha sifa nyingine nyingi nzuri.

Biblia Inasema Nini?

Je, ni kosa kutaja jina la Mungu?

Habari Zaidi Mtandaoni

Kwa Nini Watu Hufa?

Jibu la Biblia kwa swali hilo linatoa faraja na tumaini.