MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Julai 2015

Toleo hili lina makala za funzo za Agosti 31 hadi Septemba 27, 2015.

Walijitoa Wenyewe kwa Hiari—Nchini Urusi

Soma kuhusu wenzi wa ndoa na waseja ambao wamehamia nchini Urusi ili kutumikia katika eneo lenye uhitaji mkubwa. Wamejifunza kumtegemea Yehova zaidi!

Jitahidi Kuboresha Paradiso ya Kiroho

Je, paradiso ya kiroho ni sawa na hekalu la kiroho? Paulo aliona “paradiso” gani kwenye “mbingu ya tatu”?

Kumtumikia Yehova Katika “Siku Zenye Msiba”

Unawezaje kudumisha imani thabiti na kuwa mtendaji katika utumishi wa Yehova? Wafikirie watumishi wa Mungu waliozeeka katika nyakati za Biblia waliomtumikia kwa shangwe.

“Ukombozi Wenu Unakaribia!”

Tutatangaza ujumbe gani baada ya dhiki kuu kuanza? Ni nini kitakachotokea kwa watiwa-mafuta wakati huo?

Je, Ni Lazima Wengine Watambue Kazi Yako?

Mfano wa Bezaleli na Oholiabu unaweza kutusaidia kuthamini ukweli huu muhimu: Yehova anatambua kazi yetu, hata ikiwa hakuna mtu mwingine anayefanya hivyo.

Shikamana na Ufalme wa Mungu

Wakristo wanawezaje kujizoeza kuwa washikamanifu kwa Yehova na Ufalme wake?

Hapa Ni Mahali Petu pa Ibada

Tunaweza kuonyeshaje kwamba tunaheshimu mahali petu pa ibada? Ujenzi na udumishaji wa Jumba la Ufalme hugharimiwaje?

Je, Wajua?

Biblia inasema kwamba maeneo fulani ya Nchi ya Ahadi yalikuwa na misitu. Kwa kuwa eneo kubwa la nchi hiyo leo halina misitu, Je, masimulizi hayo ya Biblia ni sahihi?