Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

WIMBO NA. 110

“Shangwe ya Yehova”

“Shangwe ya Yehova”

(Nehemia 8:10)

  1. 1. Twaziona ishara za Ufalme.

    Twajulisha watu wote.

    Inueni vichwa, wokovu waja.

    Ukombozi u karibu!

    (KORASI)

    Shangwe ya Yehova ngome yetu.

    Tuimbe, tushangilie.

    Tufurahie tumaini letu,

    Tumsifu Yehova Mungu.

    Shangwe ya Yehova ngome yetu.

    Jina lake litangazwe.

    Tufanye mapenzi ya Mungu wetu.

    Na tufurahie huduma.

  2. 2. Enyi nyote, tegemeeni Mungu.

    Msihofu, ana nguvu.

    Simameni, paazeni sauti;

    Na tumwimbie Yehova!

    (KORASI)

    Shangwe ya Yehova ngome yetu.

    Tuimbe, tushangilie.

    Tufurahie tumaini letu,

    Tumsifu Yehova Mungu.

    Shangwe ya Yehova ngome yetu.

    Jina lake litangazwe.

    Tufanye mapenzi ya Mungu wetu.

    Na tufurahie huduma.