Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

WIMBO NA. 86

Lazima Tufundishwe

Lazima Tufundishwe

(Isaya 50:4; 54:13)

  1. 1. Njo’ni mjifunze kuhusu Yehova.

    ‘Njo’ni mnywe maji ya uzima.’

    Mafunzo mema yake Yehova.

    Wenye njaa wote watalishwa.

  2. 2. Na mikutano kamwe tusisahau,

    Lazima tufundishwe na Mungu.

    Hapa palipo roho ya Mungu,

    Tunatembea katika nuru.

  3. 3. Nyimbo tuimbazo zatutia moyo!

    Sauti tamu za ndugu zetu!

    Tukutanike na watu Wake.

    Sikuzote tusikosekane.