Ona video zinazopatikana

HABARI ZA DUNIA YOTE

Mashahidi wa Yehova Wenye Kufungwa kwa Sababu ya Imani Yao—Kulingana na Eneo

Mashahidi wa Yehova Wenye Kufungwa kwa Sababu ya Imani Yao—Kulingana na Eneo

Mashahidi wa Yehova wenye kufungwa kwa sababu ya imani yao habari ya Mwezi wa 10, 2017

ENEO

HESABU

SABABU

Eritrea

55

  • Kukataa kuingia katika jeshi kwa sababu ya zamiri

  • Kazi za dini

  • Sababu zenye hazijulikane

 

Kazakhstan

1

  • Kazi za dini

 

Urusi

1

  • Kazi za dini

 

Singapore

9

  • Kukataa kuingia katika jeshi kwa sababu ya zamiri

 

Korea Kusini

318

  • Kukataa kuingia katika jeshi kwa sababu ya zamiri

 

Tajikistan

1

  • Kukataa kuingia katika jeshi kwa sababu ya zamiri

 

Turkmenistan

1

  • Kazi za dini

 

Jumla

386

 

Kifungu cha 18 cha Mukataba wa Kimataifa wa Haki za Kiraia na Kisiasa kinasema kama “haki ya kuwa na uhuru wa kuwaza, wa zamiri na wa dini” ni haki ya musingi ya wanadamu. * Katika inchi fulani Mashahidi wa Yehova wanafungwa na hata kutendewa mubaya sana kwa sababu ya kuishi kulingana na haki hiyo ya musingi. Wengi kati ya wafungwa hao ni vijana wenye wamekataa kuingia katika jeshi kwa sababu ya zamiri yao. Wengine wanafungwa kwa sababu ya imani yao.

^ fu. 32 Ona pia Azimio la Watu Wote la Haki za Kibinadamu la Umoja wa Mataifa, Kifungu cha 18, na Makubaliano ya Ulaya Kuhusu Haki za Kibinadamu, Kifungu cha 9.