Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

MAISHA YA MUKRISTO

Namna ya Kuepuka Tabia ya Kurudisha Mambo Nyuma

Namna ya Kuepuka Tabia ya Kurudisha Mambo Nyuma

Mutu mwenye anarudishaka mambo nyuma ni mutu mwenye anajiambiaka kama atafanya wakati ingine mambo yenye anaweza kufanya hii wakati. Lakini Yehu hakufanya vile wakati Yehova alimupatia kazi ya kuua watu wa nyumba ya Ahabu. (2Fa 9:6, 7, 16) Mutu anaweza kusema: “Pengine nitabatizwa kisha miaka fulani.” “Karibuni, nitaanza kusoma Biblia kila siku.” “Nikipata kazi ya muzuri njo nitakuwa painia.” Maandiko inaweza kutusaidia tuepuke kurudisha mambo nyuma mu ibada yetu.

Namna gani maandiko yenye kufuata inaweza kutusaidia tuepuke kurudisha mambo nyuma?