MUNARA WA MULINZI Na. 1 2019 | Mungu Ni Nani?

Chunguza majibu ya maulizo sita yenye itakusaidia kumukaribia Mungu.

Mungu Ni Nani?

Kumujua Mungu njo hatua ya kwanza ya kukomalisha uhusiano wa karibu pamoja naye. Utafanya vile namna gani?

Jina la Mungu Ni Nani?

Ulijua kama Mungu iko na jina lenye linamutambulisha yeye kipekee?

Mungu Ni Mutu wa Namna Gani?

Sifa kubwa zaidi za Mungu ni gani?

Ni Mambo Gani Yenye Mungu Amefanya?

Kujua mambo yenye Mungu amefanya ili kuhakikisha kuwa wanadamu watakuwa na wakati wenye kuja wa muzuri kunaweza kukushangaza.

Mungu Atafanya Nini?

Ujifunze ili kujua namna hali zitakuwa katika serikali ya Mungu yenye haki.

Kujifunza Juu ya Mungu Kunaweza Kukuletea Faida Gani?

Ni baraka gani zinangojea wale wenye wanakomalisha uhusiano wa pekee pamoja na Mungu?

Unaweza Kuwa Karibu na Mungu

Chunguza hatua ine za musingi zenye zinaweza kukusaidia umukaribie Mungu.