MUNARA WA MULINZI Na. 1 2020 | Namna ya Kupata Kweli

Biblia inatoa majibu ya kweli ku maulizo fulani ya maana sana katika maisha.

Namna ya Kupata Kweli

Katika ulimwengu mwenye watu hawatumainiane na mwenye habari za uongo zinaenea, kuko njia zenye unaweza kutumikisha ili kupata majibu ya kweli ku maulizo ya maana sana katika maisha.

Biblia Ni Kitabu Chenye Kinatusaidia Kupata Kweli

Unaweza kuwa hakika kabisa kama mambo yenye Biblia inasema yenye kutegemeka kabisa.

Kweli Kumuhusu Mungu na Kristo

Kuko tofauti gani kati ya Yehova Mungu na Yesu Kristo?

Kweli Kuhusu Ufalme wa Mungu

Maandiko inatusaidia kujua Mufalme wa Ufalme wa Mungu, fasi kwenye unapatikana, kusudi, watawala, na raia wa Ufalme huo.

Kweli Kuhusu Wakati Wenye Kuja

Tia nguvu tumaini lako katika mambo yenye Mungu anasema kuhusu wakati wenye kuja wa dunia na kuhusu watu wenye wataishi ku dunia.

Kujua Kweli Kunaweza Kukuletea Faida Gani?

Ujuzi wa kweli wenye kuwa katika Neno la Mungu unaleta faida mingi.