Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Mungu Anaahidi Afya ya Akili Yenye Kukamilika

Mungu Anaahidi Afya ya Akili Yenye Kukamilika

Mu Biblia, Mungu anatupatia mashauri na faraja ya kutusaidia tupiganishe mahangaiko ya akili.

Lakini Mungu hakuishia pale. Ameahidi pia kama atamaliza kabisa mambo yote yenye kufanya tukuwe na mahangaiko ya akili.

Wakati Mungu atatimiza ile ahadi, maumivu ya moyo, mahangaiko ya akili, na mawazo yenye kuhuzunisha “hayatakumbukwa, wala kuingia katika moyo” hata siku moya.—Isaya 65:17.

Mashahidi wa Yehova watafurahia kukusaidia ujue ni wakati gani na namna gani Mungu atatimiza ile ahadi yenye kufurahisha sana.