Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 17

“Ninataka”

“Ninataka”

(Luka 5:13)

  1. 1. Yesu Kristo alikuya

    Kwa sababu ya upendo.

    Alisaidia watu wengine

    Kwa maneno na matendo.

    Aliponyesha wagonjwa,

    viziwi, vipofu pia.

    Na kwa watu wa hali ya chini

    Alisema: “Ninataka.”

  2. 2. Tujikaze kumuiga

    Kwa kuwapenda wengine.

    Tuwahubirie na tusikose

    Kuwaonyesha huruma.

    Tuwasaidie ndugu

    Kwa maneno na matendo.

    Kwa mujane na pia yatima,

    Tutasema: “Ninataka.”