Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 28

Rafiki ya Yehova Ni Nani?

Rafiki ya Yehova Ni Nani?

(Zaburi 15)

  1. 1. Ni nani rafiki

    yako eh Yehova?

    Nani anakujua weye?

    Nani unapenda?

    Mwenye anasoma

    Neno yako sana,

    Mushikamanifu, na mwenye

    haki na imani.

  2. 2. Nani anaweza

    kukukaribia?

    Nani unajua kwa jina

    na kufurahia?

    Mwenye kukusifu

    na kukusikia,

    Muaminifu tena mwenye

    anasema kweli.

  3. 3. Tunaufungua

    moyo wetu kwako,

    Unatuhangaikiaka

    na unatupenda.

    Tunapenda sana

    kukukaribia.

    Hatuna rafiki mwingine

    kama weye Baba.