WIMBO 72
Tutangaze Kweli ya Ufalme
-
1. Zamani hatukujua kweli ya Neno ya Mungu.
Lakini Mungu wetu akatuonyesha njia.
Kisha tukajua kama
Anapenda tumusifu, na tumutumikie, na kuitangaza jina yake.
Tunaenda kuhubiri kila nyumba na mu njia.
Tufundishe watu kweli kusudi wakuwe huru.
Tunaita watu wote waabudu Baba yetu.
Tufanye sana kazi, mupaka Yah aseme: “muache.”
(Ona pia Yos. 9:9; Isa. 24:15; Yoh. 8:12, 32.)