Habari Njema Yenye Inatoka kwa Mungu!

Ni habari njema gani yenye inatoka kwa Mungu? Juu ya nini tunaweza kuiamini? Broshua hii inajibia maulizo yenye watu wanazoea kujiuliza juu ya Biblia.

Namna Broshua hii Inaweza Kukusaidia

Broshua hii itakusaidia ufurahie kujifunza Neno la Mungu, Biblia. Ona namna unaweza kutumia Biblia yako mwenyewe ili kupata maandiko yenye kutajwa.

LESSON 1

Kuko Habari Gani Njema?

Ujifunze ni habari gani yenye inatoka kwa Mungu, juu ya nini watu wako na lazima ya kusikia ile habari njema leo, unapaswa kufanya nini.

LESSON 2

Mungu Ni Nani?

Mungu iko na jina, na anatuhangaikia?

LESSON 3

Habari Njema Yenye Iko mu Biblia Inatoka Kabisa kwa Mungu?

Ni mambo gani inatuonyesha kabisa kama habari yenye kuwa mu Biblia ni ya kweli?

LESSON 4

Yesu Kristo Ni Nani?

Ujifunze juu ya nini Yesu alikufa, bei ya ukombozi ni nini, na iko anafanya nini leo.

LESSON 5

Mungu Anapenda Dunia Ikuwe Namna Gani?

Biblia inafasiria juu ya nini Mungu aliumba dunia, mateso itaishi wakati gani, na wakati wenye kuja wa dunia na wale wenye kuishi ndani yake.

LESSON 6

Kuko Tumaini Gani Juu ya Watu Wenye Wamekufa?

Ni nini inatupata wakati tunakufa? Kuko siku tutaona tena wapendwa wetu wenye wamekufa?

LESSON 7

Ufalme wa Mungu Ni Nini?

Mufalme wa Ufalme wa Mungu ni nani, na Ufalme utatimiza nini?

LESSON 8

Juu ya Nini Mungu Anaacha Mambo ya Mubaya na Mateso Iendelee?

Mambo ya mubaya ilianza namna gani, na juu ya nini Mungu ameacha ile mambo iendelee? Kuko siku mateso itaisha?

LESSON 9

Unaweza Kufanya Nini ili Familia Yako Ikuwe na Furaha?

Yehova, Mungu mwenye furaha, anapenda familia zikuwe na furaha. Ona mashauri yenye kufaa yenye Biblia inatolea bwana, bibi, wazazi, na watoto.

LESSON 10

Namna Gani Unaweza Kujua Dini ya Kweli?

Kuko dini moja tu ya kweli? Ona mambo 5 yenye kuonyesha waziwazi dini ya kweli.

LESSON 11

Tutapata Faida Gani Kama Tunafuata Kanuni za Biblia?

Yesu alifasiria juu ya nini tuko na lazima ya muongozo na ni kanuni gani mbili zenye kuwa za maana sana.

LESSON 12

Unaweza Kufanya Nini ili Umukaribie Mungu?

Utafute kujua ikiwa Mungu anasikiliza sala zote, namna tunapaswa kusali, na tunaweza kufanya nini ingine ili tumukaribie Mungu.

LESSON 13

Kuko Habari Gani Njema Juu ya Dini?

Kuko siku wale wote wenye kuishi watamuabudu tu Mungu wa kweli katika umoja?

LESSON 14

Juu ya Nini Mungu Iko na Tengenezo?

Biblia inaonyesha juu ya nini na namna gani Wakristo wa kweli wanapangwa muzuri.

LESSON 15

Juu ya Nini Unapaswa Kuendelea Kujifunza Biblia?

Utafanya nini ili kusaidia wengine wapate faida kupitia mambo yenye umejifunza juu ya Mungu na Neno lake? Unaweza kuwa na urafiki gani pamoja na Mungu?