Ona video zinazopatikana

Kupambana na Magumu

Mashahidi wa Yehova wametambua kama inawezekana kuwa na furaha na hali ya kutosheka, hata wakati wako na magumu ya afya ao ya ulemavu.

Anaendelea Kuwa na Bidii Hata Kama iko Mulemavu

Virginia ameteswa na ulemavu wenye ulimuzuia kufanya kila kitu isipokuwa tu kutingiza macho kwa miaka 23. Lakini tumaini yake ya Kikristo njo inamufariji na kumulinda.

Kumutumikia Mungu Ndiyo Dawa yake!

Onesmus alizaliwa na ugonjwa unaofanya mifupa iwe zaifu. Namna gani ahadi ya Biblia imemutia moyo?

Kupata Nguvu Katika Uzaifu

Mwanamuke anayetembea akiwa katika kiti cha magurudumu anapata “nguvu zinazopita zile za kawaida” kupitia imani yake.

Yehova Amenipatia Mambo Mengi Kuliko Yenye Ninastahili

Félix Alarcón alipata kusudi la kweli katika maisha kisha kufanya aksidenti ya mubaya sana ya pikipiki yenye ilifanya apooze kuanzia kwenye shingo mupaka kwenye miguu.

Nilipata Tumaini Wakati Niliihitaji Kabisa

Alipokuwa na miaka 20, mwili wa Miklós Alexa ulipooza kwa sababu ya aksidenti. Namna gani Biblia ilimusaidia awe na tumaini la kweli la wakati unaokuja?

“Ikiwa Kingsley Anaweza, Mimi pia Ninaweza!”

Kingsley, wa inchi ya Sri Lanka, alijikaza sana ili aweze kutimiza mugawo wake wa dakika chache tu.

Kuwa Kiziwi Hakunizuie Kufundisha Wengine

Walter Markin hawezi kusikia, lakini amepata maisha yenye furaha na yenye baraka katika utumishi wa Yehova Mungu.

Macho ya Jairo—Yanamusaidia Kutumikia Mungu

Hata ikiwa Jairo anasumbuliwa na aina ya kupooza ubongo iliyo kali sana, maisha yake ni yenye furaha na maana.

Nilikubali Kweli ya Biblia Hata Kama Sina Mikono

Kijana mumoja mwanaume anateseka kwa sababu ya aksidenti ya mubaya sana, lakini anapata sababu zenye kuonyesha kama kuko Muumbaji.

“Ninakataa Kukaza Akili Juu ya Ugonjwa Wangu”

Ni nini kinamusaidia Elisa kuwa na nguvu ya kuvumilia maumivu ya ugonjwa usiopona na hata wakati fulani kusahau kuwa iko mugonjwa?

Alishikamana na Mambo Yenye Anaamini

Song Hee Kang alipambana muzuri na tatizo ngumu la afya wakati alikuwa tu na miaka 14.