Hamia kwenye habari

Historia ya Biblia

Jinsi Biblia Ilivyotufikia

Tunaweza kuwa na uhakika kwamba mawazo yaliyo katika maandishi ya Biblia ya awali yamewasilishwa kwa usahihi.

Sura na Mistari​—Ni Nani Aliiweka katika Biblia?

Kwa nini utaratibu wa kuweka sura na mistari ulikuwa maarufu?

Biblia Iliokoka Upinzani

Wanasiasa na viongozi wa dini wamejaribu kuwakataza watu kumiliki , kuchapisha, au kutafsiri Biblia. Hawakufaulu.

Tunawezaje Kuwa na Hakika Kwamba Yale Yaliyoandikwa Katika Biblia Ni ya Kweli?

Ikiwa Biblia ilitungwa na Mungu, haipaswi kuwa kama kitabu kingine kilichowahi kuandikwa.

Je, Biblia Imebadilishwa au Kupotoshwa?

Kwa kuwa Biblia ni kitabu cha zamani sana, tunawezaje kuwa na uhakika kwamba ujumbe wake umehifadhiwa kwa usahihi?

Biblia Iliokoka Jitihada za Kubadili Ujumbe Wake

Baadhi ya watu wenye hila walijaribu kubadili ujumbe wa Biblia. Jitihada zao zilifichuliwa jinsi gani?