Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Tunawezaje Kuwa na Hakika Kwamba Yale Yaliyoandikwa Katika Biblia Ni ya Kweli?

Tunawezaje Kuwa na Hakika Kwamba Yale Yaliyoandikwa Katika Biblia Ni ya Kweli?

Biblia inajitambulisha kuwa “neno la Mungu” na inasema kwamba Mungu ‘hawezi kusema uwongo.’ (1 Wathesalonike 2:13; Tito 1:2) Je, hilo ni kweli, au Biblia ni mkusanyo tu wa hekaya?