Hamia kwenye habari

Mtindo wa Maisha na Maadili

Ndoa na Familia

Je, Biblia Inaweza Kunisaidia Kuwa na Familia Yenye Furaha?

Shauri lenye hekima kutoka kwenye Biblia tayari limewasaidia mamilioni ya wanaume na wanawake kuwa na familia zenye furaha.

Biblia Inasema Nini Kuhusu Ndoa?

Kanuni za Biblia zinaweza kusaidia wenzi wa ndoa kuepuka na kushinda hali ngumu.

Biblia Inasema Nini Kuhusu Kuishi Pamoja Bila Kufunga Ndoa?

Maagizo kutoka kwa Mungu hutuonyesha jinsi ya kuwa na mahusiano mazuri katika familia, na sikuzote viwango vyake huwanufaisha wale wanaovifuata.

Biblia Inasema Nini Kuhusu Ndoa za Watu wa Jinsia Moja?

Ni lazima mwanzilishi wa ndoa awe anajua njia bora zaidi ya kuwa na muungano wenye furaha na wenye kudumu.

Je, Biblia Inaruhusu Talaka?

Jifunze kile ambacho Mungu anaruhusu na kile anachochukia.

Je, Biblia Inaruhusu Mwanamume Awe na Wake Wengi?

Je, Mungu ndiye aliyeanzisha mpango wa mwanamume kuwa na wake wengi? Chuguza yale ambayo Biblia inasema kuhusu mwanamume kuwa na wake wengi.

Biblia Inasema Nini Kuhusu Ndoa Kati ya Watu wa Rangi Tofauti?

Fikiria kanuni fulani za Biblia zinazohusiana na usawa wa kijamii na ndoa.

Inamaanisha Nini ‘Kumheshimu Baba Yako na Mama Yako’?

Huenda ukashangaa kujua amri hii haimaanishi nini.

Biblia Inasema Nini Kuhusu Kutunza Wazazi Waliozeeka?

Biblia ina mifano ya wanaume na wanawake wa imani waliofanya hivyo. Inatupa ushauri unaoweza kuwasaidia wale wanaowatunza wazee.

Ngono

Biblia Inasema Nini Kuhusu Ngono Kati ya Watu wa Jinsia Moja?

Maoni ya Mungu ni nini kuhusu ngono kati ya watu wa jinsia moja? Je, mtu mwenye tamaa za kufanya ngono na mtu wa jinsia yake anaweza kumpendeza Mungu?

Biblia Ina Maoni Gani Kuhusu Picha Chafu za Ngono na Kutuma Ujumbe wa Ngono Kwenye Intaneti?

Burudani zinazoonyesha watu wakifanya ngono zimesambaa kila mahali. Je, kusambaa huko kunafanya burudani hizo zikubalike?

Je, Biblia Inakataza Kufurahia Ngono?

Je, ni dhambi kufurahia ngono?

Je, Mkristo Anapaswa Kutumia Mbinu za Kupanga Uzazi?

Inapohusu kuchagua mbinu za kupanga uzazi je, kuna sheria ya maadili ambayo wenzi waliofunga ndoa wanapaswa kuifikiria?

Ninawezaje Kujilinda Dhidi ya Kusumbuliwa Kingono?

Mapendekezo saba yanayotegemeka yaliyo kwenye Biblia yanaweza kukusaidia kukabiliana na kusumbuliwa kingono.

Wazazi Wanawezaje Kuwafundisha Watoto Wao Kuhusu Ngono?

Biblia ina kanuni nyingi zenye faida ambazo zitakusaidia kuzungumza na mtoto wako kuhusu ngono na kuwalinda kutokana na wanaowavizia watoto ili wafanye nao ngono.

Maamuzi

Je, Mkristo Anaweza Kukubali Matibabu?

Je, Mungu anajali matibabu tunayochagua?

Biblia Inasema Nini Kuhusu Kutiwa Damu Mishipani?

Kulingana na Biblia, Mungu alitoa amri ya ‘kujiepusha na damu.’ Amri hiyo inatuhusuje leo?

Biblia Inasema Nini Kuhusu Kutoa Mimba?

Uhai wa mwanadamu unaanza wakati gani? Je, Mungu atamsamehe mtu ambaye alitoa mimba?

Biblia Inasema Nini Kuhusu Kujichanja Chale?

Je, unafurahia kujichanja chale? Ni baadhi ya kanuni gani za Biblia unazopaswa kufikiria?

Biblia Inasema Nini Kuhusu Kujipaka Vipodozi na Kuvalia Vito?

Je, Maandiko yanashutumu kujipamba kwa aina hii?

Biblia Inasema Nini Kuhusu Kileo? Je, Ni Dhambi Kunywa?

Biblia inataja faida kadhaa za divai na vileo vingine.

Je, Kuvuta Sigara Ni Dhambi?

Ikiwa kuvuta sigara hakujatajwa katika Biblia, tunawezaje kujibu swali hili?

Je, Kucheza Kamari Ni Dhambi?

Biblia haizungumzi kwa undani kuhusu kucheza kamari, kwa hiyo tunaweza kujuaje maoni ya Mungu ni nini?

Biblia Inasema Nini Kuhusu Uhuru wa Kuchagua? Je, Mungu Ndiye Anayeamua Mapema?

Watu wengi wanaamini kwamba maisha yao yanaongozwa na majaliwa. Je, mambo tunayochagua yanahusika katika mafanikio tunayopata maishani?

Ninaweza Kufanyaje Maamuzi Mazuri?

Madokezo sita yanayotegemea kanuni za Biblia yanaweza kukusaidia kupata hekima na uelewaji.

Biblia Inasema Nini Kuhusu Kutoa?

Mungu anafurahishwa na kutoa kwa aina gani?