Hamia kwenye habari

Yesu

Yesu Ni Nani?

Je, Yesu Alikuwa Mtu Mzuri tu?

Kwa nini Yesu wa Nazareti ndiye mtu mwenye ushawishi mkubwa zaidi aliyewahi kuishi duniani.

Je, Yesu ni Mungu Mweza Yote?

Yesu alisema nini kuhusu cheo chake kwa kulinganishwa na Mungu?

Kwa Nini Yesu Anaitwa Mwana wa Mungu?

Ikiwa Mungu hakumzaa Yesu kihalisi kama wanadamu wanavyozaa watoto, inawezekanaje kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu?

Je, Unabii wa Kimasihi Unathibitisha Kwamba Yesu Alikuwa Ndiye Masihi?

Je, mtu zaidi ya mmoja angeweza kutimiza unabii wa Kimasihi?

Mpinga-Kristo Ni Nani?

Je, anakuja, au tayari yupo?

Neno la Mungu—Ni Nani au Ni Nini?

Kama linavyotumiwa katika Biblia, Neno hilo lina zaidi ya maana moja.

Yule Malaika Mkuu Mikaeli Ni Nani?

Anajulikana pia kwa jina lingine, ambalo huenda unalifahamu zaidi.

Maisha ya Yesu Duniani

Yesu Alizaliwa Lini?

Ona ni kwa nini Krismasi husherehekewa Desemba 25.

Bikira Maria​—Biblia Inasema Nini Kumhusu?

Watu fulani wanadai kwamba Yesu alizaliwa na bikira ambaye hakuwa na dhambi. Je, Biblia inaunga mkono fundisho hilo?

“Wanaume Watatu Wenye Hekima” Walikuwa Nani? Je, walifuata “Nyota” ya Bethlehemu?

Majina kadhaa yanayotumiwa katika desturi za Krismasi hayapatikani katika Biblia.

Je, Wasomi Wanaamini Kuwa Yesu Aliwahi Kuwapo?

Jifunze ikiwa wanaamini au hawaamini kwamba Yesu alikuwa mtu halisi.

Je, Biblia Ina Habari Sahihi Kuhusu Maisha ya Yesu?

Chunguza hoja zinazohusu masimulizi ya Vitabu vya Injili na hati za kale zaidi zinazojulikana.

Yesu Alikuwa na Sura ya Aina Gani?

Biblia inatusaidia kupata wazo fulani kuhusu umbo lake.

Je, Yesu Alikuwa na Mke? Je, Alikuwa na Ndugu na Dada?

Kwa kuwa Biblia haisemi moja kwa moja ikiwa Yesu alioa au la, tunawezaje kujua kwamba hakuwahi kufunga ndoa?

Masimulizi Yanayomhusu Yesu Yaliandikwa Lini?

Vitabu vya Injili viliandikwa muda gani baada ya kifo cha Yesu?

Kifo na Ufufuo wa Yesu

Kwa Nini Yesu Alikufa?

Watu wengi wanafahamu fundisho la kwamba Yesu alikufa ili tuishi. Lakini kifo chake kinatufaidi jinsi gani?

Je, Yesu Alikufa Juu ya Msalaba?

Watu wengi huuona msalaba kuwa alama ya Ukristo. Je, tuutumie katika ibada?

Je, Sanda ya Turin Ndicho Kitambaa Ambacho Yesu Alifungwa Alipozikwa?

Mambo matatu muhimu kuhusu sanda hiyo yatakusaidia upate jibu.

Je, Yesu Alifufuliwa Akiwa na Mwili wa Nyama au wa Roho?

Biblia inasema kwamba Yesu ‘alifanywa kuwa hai katika roho,’ kwa hiyo wanafunzi wake wangemwonaje na kumgusa baada ya yeye kufufuliwa?

Jukumu la Yesu Katika Kusudi la Mungu

Yesu Huokoa​—Jinsi Gani?

Kwa nini tunahitaji Yesu atuombee? Je, tunahitaji tu kumwamini Yesu ili tuokolewe?

Je, Kumwamini Yesu Kunatosha Kupata Wokovu?

Biblia inawataja watu fulani wanaomwamini Yesu lakini ambao hawataokolewa. Hilo linawezekanaje?

Kwa Nini Tusali Katika Jina la Yesu?

Jifunze jinsi kusali katika jina la Yesu kunamheshimu Mungu, na Yesu.

Kuja kwa Kristo Kunamaanisha Nini?

Je, watu watamwona atakaporudi?