Noa—Imani Ilimchochea Kutii
Jifunze jinsi kuonyesha imani na kumtii Yehova kulivyomsaidia Noa kuokoka wakati ulimwengu mwovu wa kale ulipoharibiwa. Drama hii inategemea Mwanzo 6:1–8:22; 9:8-16.
Huenda Ukapenda Pia
IGENI IMANI YAO
Noa—“Alitembea Pamoja na Mungu wa Kweli”
Noa na mke wake walikabili matatizo gani katika kuwalea watoto wao? Walionyeshaje imani kwa kujenga safina?
MNARA WA MLINZI
Noa Alilindwa Akiwa “Salama Pamoja na Wengine Saba”
Noa na familia yake waliokokaje kipindi kigumu zaidi katika historia ya wanadamu?
MAJIBU YA MASWALI YA BIBLIA
Simulizi la Noa na Gharika Kuu—Je, Ni Hekaya Tu?
Biblia inasema kwamba kuna wakati ambapo Mungu alileta gharika kuu iliyoharibu waovu. Ni mambo gani hakika yanayotajwa katika Biblia kuthibitisha kwamba ilitoka kwa Mungu?
MNARA WA MLINZI
Enoko—‘Alimpendeza Mungu Vema’
Ikiwa wewe ni kichwa cha familia au unakabili changamoto ya kudumisha msimamo wako wa kile unachoamini kuwa sahihi, unaweza kujifunza mengi kutokana na imani ya Enoko.
MAJIBU YA MASWALI YA BIBLIA
Wanefili Walikuwa Nani?
Biblia inawaita “watu wenye nguvu wa nyakati za kale, wanaume maarufu.” Tunajua nini kuwahusu?
Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
Safina ya Noa
Malaika walipokuja duniani na kujichukulia wanawake, walizaa watoto ambao walikuwa majitu. Jeuri ilienea kotekote. Lakini Noa alikuwa tofauti—alimpenda na kumtii Mungu.