Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

“Yehova Anaweza Kukupa Nyingi Zaidi Kuliko Hizo”

“Yehova Anaweza Kukupa Nyingi Zaidi Kuliko Hizo”

Amazia alikodi mashujaa hodari ili wapigane dhidi ya maadui wa Mungu (2Nya 25:5, 6)

Mtu fulani wa Mungu alimshauri Amazia asiende vitani pamoja na mashujaa hao waliokodiwa (2Nya 25:7, 8; it-1 1266 ¶6)

Yehova angeweza kumrudishia Amazia pesa nyingi hata kuliko alizokuwa amepoteza (2Nya 25:9, 10)

JIULIZE: ‘Ninaweza kujidhabihu kwa njia zipi ili kumtumikia Yehova kikamili zaidi? Nitafurahia baraka zipi ninapofanya hivyo?’—Mal 3:10; w21.08 30 ¶16.