Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

MAISHA YA MKRISTO

“Yehova Ni ‘Baba wa Mayatima’”

“Yehova Ni ‘Baba wa Mayatima’”

Kila mwaka, vijana wengi huchagua kuwa rafiki za Yehova. (Zb 110:3) Yehova anamjali sana kila mmoja wenu. Anaelewa changamoto ambazo unakabili na anaahidi kukusaidia unapomtumikia. Ikiwa familia yenu ni ya mzazi mmoja, kumbuka kwamba Yehova ni “baba wa mayatima.” (Zb 68:5) Ukikubali kuzoezwa na Yehova, unaweza kufaulu hata kuwe na hali gani nyumbani.—1Pe 5:10.

TAZAMENI VIDEO YENYE KICHWA WAPIGANAJI WA IMANI WALIOFANIKIWA—WANAOLELEWA NA MZAZI MMOJA, KISHA MJIBU MASWALI YAFUATAYO:

  • Umejifunza nini kutokana na mifano ya Tammy, Charles, na Jimmy?

  • Vijana wanaolelewa na mzazi mmoja wanapata uhakikisho gani kwenye Zaburi 27:10?