MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Februari 2020
Toleo hili lina makala za funzo za Aprili 6–Mei 3, 2020.
Yehova, Baba Yetu, Anatupenda Sana
Tunaweza kuwa na uhakika kwamba Baba yetu wa mbinguni anatupenda, anatujali, na hatatuacha kamwe.
Tunampenda Sana Yehova, Baba Yetu
Fikiria baadhi ya mambo hususa ambayo tunaweza kufanya ili kuonyesha kwamba tunampenda Yehova, Baba yetu anayetujali.
Fuatilia Amani kwa Kuushinda Wivu
Huenda tukapambana na hisia za wivu nyakati fulani. Fikiria njia hususa za kushinda tabia yenye kudhuru ya wivu na jinsi ya kuendeleza amani pamoja na wengine.
Acha Yehova Akubembeleze
Hana, mtume Paulo, na Mfalme Daudi walilemewa na mahangaiko. Tunajifunza nini kutokana na jinsi Yehova alivyomfariji na kumbembeleza kila mmoja wao?
SIMULIZI LA MAISHA
Kujifunza Kutokana na Mifano Mizuri Kuliniletea Baraka Nyingi
Léonce Crépeault anasimulia jinsi mifano mizuri ya ndugu waaminifu ilivyomsaidia kushinda woga wake na kufurahia baraka nyingi katika miaka 58 hivi ya utumishi wake wa wakati wote.
Je, Wajua?
Uvumbuzi wa vitu vya kale unathibitishaje kwamba Belshaza wa Babiloni alikuwa mtu halisi na alikuwa mfalme?