Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

MNARA WA MLINZI Na. 3 2017 | Wapanda Farasi Wanne​—Jinsi Wanavyokuhusu

UNA MAONI GANI?

Wapanda farasi wanne wa Apokalipsi wanaotajwa katika kitabu cha Ufunuo wanajulikana sana. Baadhi ya watu wanaogopa wanaposoma simulizi hilo. Na wengine wanavutiwa na simulizi hilo. Ona kile ambacho Biblia inasema kuhusu unabii huo:

“Mwenye furaha ni yeye anayesoma kwa sauti na wale wanaosikia maneno ya unabii huu.”Ufunuo 1:3.

Toleo hii la gazeti la Mnara wa Mlinzi linaeleza jinsi ambavyo wapanda farasi hao wanne wanavyoweza kuwa habari njema kwetu.

 

HABARI KUU

Wapanda Farasi Wanne​Jinsi Wanavyokuhusu

Farasi wanne​—mweupe, wa rangi ya moto, mweusi, na wa rangi ya kijivu. Simulizi kuhusu mbio zao linajulikana sana katika kitabu cha Ufunuo, au Apokalipsi.

HABARI KUU

Wapanda Farasi Wanne​—Jinsi Wanavyokuhusu

Wapanda farasi wanne wa Apokalipsi hutokeza picha iliyo wazi sana akilini ambayo huvuta uangalifu katika Biblia! Je, wanakutia hofu au kukupa tumaini?

Uthibitisho Mwingine

Huenda usijue Tatenai alikuwa nani, hata hivyo, vitu ambavyo wanaakiolojia wamechimbua vinatoa uthibitisho wenye nguvu kwamba alikuwa mtu halisi.

BIBLIA HUBADILI MAISHA

Nilipenda Mchezo wa Besiboli Kuliko Kitu Kingine Chochote!

Samuel Hamilton alikuwa mchezaji wa kulipwa, lakini kujifunza Biblia kulibadili maisha yake.

IGENI IMANI YAO

“Wewe Ni Mwanamke Mwenye Sura Nzuri”

Katika nchi ya Misri watumishi wa Farao waliona urembo wa Sara usio wa kawaida. Kilichotokea baada ya hapo huenda kikakushangaza.

Biblia Inasema Nini?

Je, Mungu anapendelea jamii moja ya watu kuliko nyingine? Je, kuna baadhi ya watu waliobarikiwa na wengine kulaaniwa?

Habari Zaidi Mtandaoni

Kitabu cha Ufunuo​—Kinamaanisha Nini?

Kitabu chenyewe kinasema kwamba wale wanaosoma, wanaoelewa, na kutenda kupatana na mambo yaliyoandikwa humo watakuwa na furaha kwa kufanya hivyo.