Ona video zinazopatikana

Biblia Inasema Kweli mu Mambo ya Historia

Inchi na Mahali Yenye Kuzungumuziwa mu Biblia

Kuanguka kwa Ninawi

Wakati mamlaka ya Ashuru ilifikia kuwa makubwa zaidi, nabii moja wa Yehova alitabiri jambo fulani yenye haikutazamiwa.

Je, Ulijua?—Mwezi wa 4, 2013

Sababu gani muji wa zamani wa Ninawi uliitwa ‘muji wa umwangaji wa damu’? Sababu gani Wayahudi walipaswa kujenga ukuta kando-kando ya dari la nyumba zao?

Watu Wenye Kuzungumuziwa mu Biblia

Ulijua?​—Mwezi wa 3, 2020

Zaidi ya mambo yenye Biblia inasema, kuko ushuhuda mwingine wenye unaonyesha kama Waisraeli walikuwa watumwa kule Misri?

Jina Lenye Kuwa Katika Biblia Linapatikana Kwenye Mutungi wa Zamani

Mutungi wa udongo wenye kuwa na miaka 3000 wenye ulichimbuliwa katika mwaka wa 2012 uliamusha upendezi wa wachunguzi. Ni jambo gani lenye likuwa la pekee kuhusu uvumbuzi huo?

Ulijua?​—Mwezi wa 2, 2020

Namna gani vitu vyenye vilivumbuliwa vinahakikisha kama Belshaza alikuwa mufalme wa Babiloni?

Ushuhuda Mwingine wa Vitu Vyenye Kuchimbuliwa

Pengine haujue kama Tatenai alikuwa nani, lakini vitu vyenye kuchimbuliwa ambavyo vinamutaja vinashuhudia juu yake.

Yesu Aliishi Kabisa Duniani?

Watu wenye elimu wa leo na wa zamani wanasema nini kuhusu jambo hilo?

Ulijua?—Mwezi wa 11, 2015

Sababu gani Yosefu alikata ndevu mbele ya kuenda kuonana na Farao? Wakati Biblia inasema kama baba ya Timotheo alikuwa “Mugiriki,” hilo linamaanisha kama alizaliwa Ugiriki?

Ulijua?—Mwezi wa 5, 2015

Vitu vya zamani vinaunga mukono habari za Biblia? Tangu wakati gani simba hawako tena katika maeneo yenye kuzungumuziwa katika Biblia?

Matukio ya Biblia

Habari Kuhusu Noa na Garika Kubwa​—Ni Mambo ya Kuwazia-wazia Tu?

Biblia inasema kama zamani Mungu aliletaka garika kubwa juu ya kuharibu watu wabaya. Biblia inasema mambo gani yenye kuonyesha kama Garika ilitoka kwa Mungu?

Luga Zetu za Leo Zilianzia Kwenye “Munara wa Babeli”?

Munara wa Babeli ni nini? Luga za wanadamu zilianzia wapi kabisa?

Ulijua?​—Mwezi wa 6, 2022

Je, Waroma waliruhusu mutu mwenye alitundikwa ku muti, sawa vile Yesu, azikwe mu kaburi?

Maisha Katika Wakati wa Biblia

Ana ya Gari Yenye Towashi Mwetiopia Alitumia

Towashi Mwetiopia alikuwa mu gari ya aina gani wakati Filipo alimukaribia?

Namna Matofali Ilifanywa Zamani Inaonyesha Kama Biblia Inasema Kweli

Matofali yenye ilivumbuliwa mu Babiloni ya zamani na namna ilifanywa inaonyesha namna gani kama Biblia ni ya kweli?

Ulijua?​—June 2022

Namna gani watu wa zamani walikuwa najua mwanzo wa mwaka na wa mwezi?

‘Kutoka Katika Milima Utachimba Shaba’

Mambo ambayo wachimbuaji wa vitu vya zamani walipata yanatusaidia kuelewa namna shaba ilivyotumiwa katika nyakati za Biblia.

Ulijua?​—Mwezi wa 10, 2017

Sababu gani Yesu alihukumu tabia ya Wayahudi ya kuapa?

Ulijua?​—Munara wa Mulinzi Na. 52017

Yesu alitumia matusi wakati alizungumuzia watu wa mataifa kama ‘imbwa wadogo’?

Ulijua?​—Mwezi wa 6, 2017

Sababu gani Yesu alisema kama wafanya-biashara wenye walikuwa wanauzisha wanyama katika hekalu walikuwa ‘wanyanganyi’?

Ulijua?​—Mwezi wa 10, 2016

Wakati wa mitume, Roma ilipatia viongozi Wayahudi katika Yudea uhuru kwa kadiri gani? Na ni kweli kwamba zamani, mutu fulani angepanda kabisa magugu katika shamba la mutu mwengine?

Ulijua?—Mwezi wa 12, 2015

Siku ya pentekoste mwaka wa 33, Wayahudi walikuja kabisa Yerusalemu “kutoka kila taifa kati ya yale yaliyo chini ya mbingu”? Maelfu ya watu wenye walikuwa wanakuja Yerusalemu kwenye sikukuu za Wayahudi walikuwa walipangishwa namna gani?

Ulijua?—Mwezi wa 3, 2015

Kuwa na uraia wa Roma kulimuletea mutume Paulo faida gani? Namna gani wachungaji walikuwa wanalipwa wakati wa zamani?

Je, Ulijua?—Mwezi wa 5, 2014

Sababu gani Wayahudi walimuomba Pilato miguu ya Yesu ivunjwe? Daudi angeweza kumuua kabisa Goliathi kupitia kombeo tu?

Je, Ulijua?​—Mwezi wa 2, 2014

Udi uliotumiwa katika nyakati za Biblia ni nini? Ni matoleo gani yaliyokubaliwa kwenye hekalu la Yerusalemu?

Je, Ulijua?​—Mwezi wa 1, 2014

Wakati wa Yesu, michango ilifanywa namna gani kwenye hekalu? Luka, muandikaji wa Biblia, alieleza habari bila makosa?