MUNARA WA MULINZI Mwezi wa 12, 2015 | Unaweza Kuelewa Biblia

Umekwisha kujiuliza, ‘Sababu gani ni vigumu kuelewa Biblia?’

HABARI KUBWA

Sababu Gani Inaomba Kuelewa Biblia?

Watu wengi wanaheshimia kitabu hicho kitakatifu bila kujua namna kinaweza kuwaletea faida.

HABARI KUBWA

Biblia Ni Kitabu Chenye Kinaweza Kueleweka

Mambo ine yanahakikisha kama Biblia iliandikwa kwa namna yenye watu wote wanaweza kuelewa.

HABARI KUBWA

Unaweza Kupata Musaada wa Kuelewa Biblia

Ikiwa Biblia iliandikwa kwa namna yenye kueleweka, sababu gani uko na lazima ya musaada wa kuielewa?

Unafiki! Utaisha Siku Fulani?

Wanafiki wamekufanya uachane na mambo ya siasa, dini, ao biashara?

Ulijua?

Siku ya pentekoste mwaka wa 33, Wayahudi walikuja kabisa Yerusalemu “kutoka kila taifa kati ya yale yaliyo chini ya mbingu”? Maelfu ya watu wenye walikuwa wanakuja Yerusalemu kwenye sikukuu za Wayahudi walikuwa walipangishwa namna gani?

Mutume Petro Alikuwa Papa wa Kwanza?

Yesu alimaanisha nini wakati alisema: “Wewe ni Petro, na juu ya mwamba huo nitajenga Eklezya yangu”?

WASOMAJI WETU WANAULIZA

Desturi za Noeli Ziko na Ubaya Gani?

Hata kama desturi za Noeli ziko na mwanzo wa kipagani, hilo linaweza kuzuia mutu kuzifuata?

Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa

Sababu gani Mungu anakubali watu wenye kupenda kweli?

Usikose Pia Kusoma Habari Hizi

Sayansi Inapatana na Biblia?

Biblia inafundisha mambo fulani ambayo hayapatane na sayansi?