Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 11

Uumbaji Unamusifu Mungu

Uumbaji Unamusifu Mungu

(Zaburi 19)

  1. 1. Eh! Yehova uko Muumbaji;

    Uliumba mbingu na dunia.

    Vyote vinakutukuza sana,

    Vinatangaza ukubwa wako.

    Vyote vinakutukuza sana,

    Vinatangaza ukubwa wako.

  2. 2. Baba nitakuwa na hekima

    Kama ninakuogopa weye.

    Sheria yako ni tamu sana,

    Inapita asali na vyote.

    Sheria yako ni tamu sana,

    Inapita asali na vyote.

  3. 3. Kukujua na kukusikia

    Kunatupatia tumaini.

    Ni pendeleo na ni heshima

    Kutakasa jina yako kubwa.

    Ni pendeleo na ni heshima

    Kutakasa jina yako kubwa.