WIMBO 98
“Kila Andiko Limeongozwa na Roho ya Mungu”
-
1. Neno ya Yehova Mungu
Iko natuongoza.
Kama tunaifuata
Tutakuwa na uhuru.
-
2. Mungu anatufundisha
Kupitia Biblia,
Anatutia nizamu
Na anatukaripia.
-
3. Mu Biblia tunaona
upendo wa Yehova.
Tuisome kila siku
Tutakuwa na furaha.
(Ona pia Zb. 119:105; Mez. 4:13.)