Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 98

“Kila Andiko Limeongozwa na Roho ya Mungu”

“Kila Andiko Limeongozwa na Roho ya Mungu”

(2 Timoteo 3:16, 17)

  1. 1. Neno ya Yehova Mungu

    Iko natuongoza.

    Kama tunaifuata

    Tutakuwa na uhuru.

  2. 2. Mungu anatufundisha

    Kupitia Biblia,

    Anatutia nizamu

    Na anatukaripia.

  3. 3. Mu Biblia tunaona

    upendo wa Yehova.

    Tuisome kila siku

    Tutakuwa na furaha.