AMKENI! Oktoba 2012

HABARI KUU

Jinsi Unavyoweza Kufanikiwa Shuleni

Unaweza kufaidika zaidi na masomo yako. Katika makala hizi tutazungumzia siri tano za kupata mafanikio.

HABARI KUU

Pata Kichocheo

Ni mambo gani yanayoweza kukuchochea ufanye vizuri zaidi shuleni?

HABARI KUU

Fanya Mambo kwa Utaratibu

Madokezo yanayoweza kukusaidia kuepuka mikazo ya migawo ya shule na kupata matokeo mazuri kwenye mitihani.

HABARI KUU

Omba Msaada

Ni muhimu kuwa na watu wanaweza kukushauri na kukutegemea. Ni nani wanaoweza kukusaidia?

HABARI KUU

Tunza Afya Yako

Kutunza afya yako kunaweza kuboresha utendaji wako shuleni na pia kuboresha maisha yako.

HABARI KUU

Uwe na Lengo

Unajua elimu inakufaidi kwa njia gani? Ni mambo gani unayopaswa kuzingatia?

HABARI KUU

Mambo Ambayo Wazazi Wanaweza Kufanya

Watoto hukabili changamoto nyingi shuleni. Mnaweza kuwasaidiaje?

Kushinda Tatizo la Kunenepa Kupita Kiasi Miongoni mwa Vijana

Soma kuhusu kijana mmoja aliyekuwa na mazoea ya vyakula visivyo na lishe alivyobadili mazoea hayo.

Tunakutana Ana kwa Ana na Sokwe

Ambatana nasi tukatembelee Mbuga ya Wanyama ya Dzanga-Ndoki, tukamwone Makumba, sokwe wa nyanda za chini za magharibi.

JE, NI KAZI YA UBUNI?

Vipokezi vya Mbawakawa Anayeitwa Black Fire

Wahandisi na watafiti wanaweza kujifunza nini kutokana na mbawakawa huyo mwenye uwezo wa ajabu?

VIJANA HUULIZA

Nitazamie Nini Katika Ndoa?—Sehemu ya 2

Pata kujua jinsi unavyoweza kujitayarisha kushughulika na hali ngumu ambazo hukutazamia katika ndoa yenu.

Je, Taarifa za Habari Zenye Kuogopesha Zinawaathiri Watoto Wako?

Je, taarifa za habari zenye kuogopesha zinawaathiri watoto wako? Unaweza kuwasaidiaje?

MAONI YA BIBLIA

Je, Maisha Yako Yanaongozwa na Nyota?

Watu wengi hugeukia unajimu ili kupata majibu ya maswali muhimu maishani. Je, kweli nyota zinaweza kutusaidia?

Kutimiza Jukumu Lako Ukiwa Mzazi

Unaweza kumsaidiaje mtoto wako akabiliane na maadili yaliyozorota katika ulimwengu wa leo?

Biblia—Kitabu cha Unabii Sahihi—Sehemu ya 6

Matukio ya sasa ulimwenguni yana umuhimu wowote wa pekee? Chunguza unabii kuhusu mambo saba yanayotia alama siku zetu.

Kuutazama Ulimwengu

Habari kama vile: Mfadhaiko unaotokana na maisha ya mjini, Facebook, na jinsi kutazama televisheni kunavyoweza kuathiri urefu wa maisha yao.

Mazungumzo ya Familia

Mwezi huu jifunze kuhusu Noa, Nehemia, na Mashahidi wa Yehova nchini Zambia.