MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Aprili 2015

Toleo hili lina makala za funzo za Juni 1 hadi 28, 2015.

Wazee, Mna Maoni Gani Kuhusu Kuwazoeza Wengine?

Soma mapendekezo saba kutoka kwa wazee ambao wamefanikiwa kuwazoeza wengine.

Jinsi Wazee Wanavyowazoeza Wengine

Wazee wanaweza kuiga njia ya Yesu ya kuzoeza, na wale wanaozoezwa wanaweza kumwiga Elisha.

SIMULIZI LA MAISHA

Nilibarikiwa ‘Katika Majira Yanayofaa na Majira Yenye Taabu’

Simulizi la maisha la Trophim Nsomba ambaye alivumilia mateso makali nchini Malawi kwa sababu ya imani yake, linaweza kuimarisha azimio lako la kuwa mwaminifu.

Uhusiano Wako na Yehova Ni Halisi Kadiri Gani?

Mawasiliano huimarisha urafiki. Unaweza kutumiaje kanuni hiyo inapohusu uhusiano wako na Mungu?

Mtegemee Yehova Sikuzote!

Unaweza kushinda hata hali ngumu zaidi na hivyo kuimarisha uhusiano wako na Mungu.

Kutenga na Ushirika Ni Mpango Wenye Upendo

Inawezekanaje jambo linalosabisha maumivu makali likawanufaisha watu?

Je, Mti Uliokatwa Unaweza Kuchipuka Tena?

Jibu la swali hilo litabadili maoni yako kuhusu wakati ujao.