MNARA WA MLINZI Mei 2014 | Je, Inawezekana Kujua Wakati Ujao?

Jibu la swali hilo linaweza kubadili maisha yako.

HABARI KUU

Utabiri Fulani Hutimia Lakini Mwingi Hautimii

Ni nani ambaye nyakati zote amekuwa akitabiri wakati ujao kwa usahihi?

HABARI KUU

Je, Inawezekana Kujua Wakati Ujao?

Mungu anaweza kutabiri wakati ujao.

MAZUNGUMZO PAMOJA NA JIRANI

Je, Mashahidi wa Yehova Wanamwamini Yesu?

Ikiwa wanamwamini kwa nini hawaitwi Mashahidi wa Yesu?

Je,Wajua?

Kwa nini Wayahudi walimwomba Pilato aagize Yesu avunjwe miguu? Je, kweli Daudi alimuua Goliathi kwa kutumia kombeo?

IGENI IMANI YAO

Alikabiliana na Upanga wa Majonzi

Mfano wa Maria mama ya Yesu unaweza kukusaidia unapokabiliana na “upanga mrefu” wa majonzi.

Majibu ya Maswali ya Biblia

Kama Mungu ndiye anayetawala ulimwengu, kwa nini umejaa mateso?

Habari Zaidi Mtandaoni

Je, Biblia Ni Kitabu Kutoka kwa Mungu?

Waandikaji wengi wa Biblia wanasema kwamba mambo waliyoandika yalitoka kwa Mungu. Kwa nini?