MNARA WA MLINZI Desemba 2014 | Unaweza Kumkaribia Mungu

Je, unahisi Mungu hakujali na yuko mbali nawe? Je, umewahi kujiuliza ikiwa unaweza kuwa rafiki ya Mungu?

HABARI KUU

Je, Unahisi Mungu Yuko Karibu na Wewe?

Watu wengi wanaamini kwamba Mungu ni rafiki yao.

HABARI KUU

Je, Unalijua na Kulitumia Jina la Mungu?

Kwa kweli Mungu amejitambulisha kwako kwa maneno haya: “Mimi ni Yehova. Hilo ni jina langu.”

HABARI KUU

Je, Unawasiliana na Mungu?

Tunaposali, tunazungumza na Mungu, lakini Mungu anazungumza nasi kwa njia gani?

HABARI KUU

Je, Wewe Hufanya Yale Ambayo Mungu Anataka?

Ni muhimu kumtii Mungu, hata hivyo kuna jambo lingine linalohitajika ili uweze kuwa rafiki yake.

HABARI KUU

Hii Ni Njia Bora ya Maisha

Hatua tatu zitakazokusaidia uwe rafiki ya Mungu.

Timgad—Jiji Lililoangamia Lafichua Siri Zake

Waroma wa kale walitumia mbinu za kijanja ili kufanya amani na makabila ya kuhamahama ya eneo la Kaskazini mwa Afrika.

WASOMAJI WETU WANAULIZA

Ukweli wa Mambo Ni Nini Kuhusu Krismasi?

Utashangaa sana kujua chanzo cha desturi nyingi zinazofuatwa wakati wa sikukuu ya Krismasi.

“Ufahamu wa Mtu Hakika Hupunguza Hasira Yake”

Tukio fulani la maisha ya Mfalme Daudi wa Israeli linaweza kukusaidia kujua jinsi ya kudhibiti hisia zako unapokosewa au kuudhiwa.

Je, Nikope Pesa?

Hekima ya Biblia inaweza kukusaidia kuamua.

Majibu ya Maswali ya Biblia

Unawezaje kutumia ujumbe wa Biblia kufikia moyo wa mtoto wako?

Habari Zaidi Mtandaoni

Je, Mungu Ni Nguvu Zisizo na Utu?

Biblia inasema kwamba Mungu aliumba vitu vyote, lakini je, anatujali?