Hamia kwenye habari

Waaminifu Wanapojaribiwa

Ona jinsi Neno la Mungu linavyowasaidia Mashahidi wa Yehova wafanikiwe kukabiliana na majaribu ya imani yao.

Walivaa Pembe Tatu ya Zambarau

Kwa nini walimu katika shule moja sasa wanawataja Mashahidi wa Yehova wanapofundisha kuhusu waathiriwa wa kambi za mateso za Wanazi?

Kasri Ambamo Imani Ilijaribiwa

Kasri la Kihispania ambamo mamia ya wafungwa Mashahidi wa Yehova walifungwa, ambao dhamiri yao haikuwaruhusu watumike jeshini.

Hatutakana Imani Yetu

Daniel Lokollo anakumbuka jinsi alivyoteswa na walinzi wa gereza.

Vitisho Havikuwazuia Kumtumikia Yehova

Watu walitendaje Mashahidi wa Yehova walipotendewa kwa jeuri nchini Georgia?

Nimeazimia Kuwa Askari-Jeshi wa Kristo

Demetrius Psarras alifungwa gerezani kwa kukataa kujiunga na jeshi. Hata hivyo, aliendelea kumsifu Mungu hata alipokabili majaribu makali yaliyofuata.

Alijifunza Kutoka kwa Wafungwa

Alipokuwa gerezani nchini Eritrea, mwanamume mmoja alijionea mwenyewe kwamba Mashahidi wa Yehova wanaishi kulingana na kile wanachofundisha.

Sala Kwenye Mti wa Mwaloni

Baba ya Rachel alijaribu kumfanya aache kumtumikia Yehova kwa kumhonga na kumpiga. Sala alizotoa juu ya mti zilimsaidiaje kuendelea kuwa mshikamanifu na mwenye nguvu?

Maandishi Chini ya Mashine ya Kufua Nguo

Mama mmoja alibuni njia ya kuwafundisha binti zake kweli za Biblia.

Makasisi Wenye Hasira Watendewa kwa Upole

Biblia inatutia moyo tuendelee kuwa wapole, hata tunapokasirishwa. Je, ushauri huo unafanya kazi kweli?

“Tumaini la Ufalme Si Ndoto”

Efraín De La Cruz alifungwa na kupigwa vibaya katika magereza saba tofauti kwa sababu ya kuhubiri habari njema. Ni nini kilichomsaidia kudumisha bidii yake kwa zaidi ya miaka 60?

Painia Jasiri

Katika kipindi chote cha miaka 60 ya utumishi, André Elias alidumisha uaminifu licha kuhojiwa na kutishwa.

Nina Amani na Mungu Pamoja na Mama Yangu

Michiyo Kumagai alipoacha kuabudu mababu, hakuelewana na mama yake. Aliwezaje kurudisha amani?