Hamia kwenye habari

Biblia Inabadili Maisha

Ona jinsi neno la Mungu lilivyobadili na kuboresha maisha ya watu ulimwenguni pote katika masimulizi haya.

Maisha Yenye Kusudi

Tulijenga Upya Ndoa Yetu kwa Msaada wa Mungu

Nguvu za kanuni za Biblia zinaweza kumsaidia mtu yeyote anayekabili matatizo katika ndoa yake.

Nilipata Utajiri wa Kweli

Mfanyabiashara alipataje kitu chenye thamani zaidi ya utajiri na pesa?

Juan Pablo Zermeño: Yehova Alinipa Maisha Yenye Kusudi

Mambo mabaya yaliyotupata yanaweza kutuathiri kwa muda mrefu. Licha ya kulelewa chini ya hali ngumu, ona jinsi Juan Pablo alivyopata kusudi, amani, na shangwe ya kweli maishani.

Johny na Gideon: Walikuwa Maadui, Sasa Ni Ndugu

Katika maeneo fulani, ubaguzi wa rangi ni jambo la kawaida kila siku. Ona jinsi wanaume wawili nchini Afrika Kusini walishinda tatizo hilo.

Je, Upendo Unaweza Kushinda Chuki?

Inaweza kuwa vigumu kushinda ubaguzi. Ona jinsi Myahudi na Mpalestina walivyofanikiwa kushinda tatizo hilo.

Nilivutiwa na Majibu ya Biblia Yaliyo Wazi na Yanayoeleweka

Ernest Loedi alipata majibu ya baadhi ya maswali muhimu sana maishani. Majibu ya Biblia yaliyo wazi yalimpa tumaini la kweli la wakati ujao.

Maswali Matatu Yalibadili Maisha Yangu

Mwalimu Doris Eldred alipofundishwa na mwanafunzi wake, alipata majibu yenye kuridhisha ya maswali yake kuhusu maisha.

Sikutaka Kufa!

Wakati fulani Yvonne Quarrie alijiuliza hivi: “Kwa nini niko hai?” Jibu la swali hilo lilibadili maisha yake.

Yehova Amenisaidia Sana

Ni kweli zipi za Biblia ambazo zilimsaidia Crystal, aliyetendewa vibaya kingono alipokuwa mtoto, kujenga uhusiano na Mungu na kujipatia kusudi halisi maishani?

Sasa Sioni Aibu Tena

Pata kujua jinsi Israel Martínez alivyoshinda hisia zenye nguvu za kujiona kuwa duni na kuanza kujiheshimu.

Jeson Senajonon: Yehova Amenisikia

Kwa Jeson, kuwa kiziwi hakukuwa kizuizi cha kusitawisha uhusiano wa karibu na Mungu.

Hatimaye Niliacha Kumchukia Baba Yangu

Soma kwa nini Renée alianza kutumia dawa za kulevya na kileo na jinsi alivyoshinda uraibu huo.

Sasa Ninahisi Kwamba Ninaweza Kuwasaidia Wengine

Julio Corio alipatwa na aksidenti mbaya iliyomfanya ahisi kwamba Mungu hajali. Andiko la Kutoka 3:7 lilimsaidia kubadili maoni yake.

Niliishi Maisha ya Ubinafsi

Christof Bauer alisoma Biblia kwa bidii alipokuwa akisafiri kwenye Bahari ya Atlantiki katika mashua ndogo. Alijifunza nini?

Nilitaka Kupigania Haki

Rafika alijiunga na kikundi cha kufanya mabadiliko ili kupambana na ukosefu wa haki. Lakini akapata ahadi ya Biblia kwamba kutakuwa na amani na haki kupitia Ufalme wa Mungu.

“Sitamani Tena Kuubadili Ulimwengu”

Kujifunza Biblia kulimsaidiaje mwanaharakati wa masuala ya kijamii ajifunze chanzo pekee cha mabadiliko?

Niliweka Bunduki Yangu Chini

Ona jinsi ujumbe wa Biblia wenye kufariji ulivyomsaidia Cindy kubadili utu wake wa kupenda jeuri.

Niliamini Hakuna Mungu

Ni nini kilichofanya kijana Mkomunisti aliyeamini hakuna Mungu aithamini Biblia?

The Biblia Inabadili Maisha—From Polygamist to a Better Husband

Ni nini kilichomchochea mtu aliyekuwa na wake wengi kubadili maoni yake kuhusu ndoa?

Walibadili Imani Yao

“Nilikuwa na Maswali Mengi Kuliko Majibu”

Ni nini kilichomthibitishia Mario aliyekuwa kasisi kwamba Mashahidi wa Yehova wanafundisha ukweli kuhusu Biblia?

Kujifunza Biblia Kulikata Kiu Yangu ya Kupata Majibu

Mayli Gündel aliacha kumwamini Mungu baba yake alipokufa. Alipataje imani ya kweli na amani ya moyoni?

Walitumia Biblia Kujibu Maswali Yangu Yote!

Isolina Lamela alikuwa mtawa Mkatoliki, kisha akawa mwanaharakati wa Ukomunisti, hata hivyo alikatishwa tamaa. Baadaye, alikutana na Mashahidi wa Yehova, ambao walimsaidia kwa kutumia Biblia kuishi maisha yenye kusudi.

Walipata ‘Lulu Yenye Thamani Kubwa’

Mary na Björn walipata kweli ya Ufalme kwa njia tofauti. Kweli ilibadilishaje maisha yao?

Nilikatishwa Tamaa na Dini

Tom alitaka kumwamini Mungu lakini alikatishwa tamaa na dini na mapokeo ya kidini. Kujifunza Biblia kulimsaidiaje kupata tumaini?

“Yehova Hakuwa Amenisahau”

Mwanamke huyo aliyependa dini hatimaye alipata majibu yanayotegemea Maandiko kwa maswali yake kuhusu kwa nini tunakufa na kinachotupata baada ya kufa. Soma jinsi Biblia ilivyobadili maisha yake.

“Nilitamani Kuwa Kasisi”

Tangu alipokuwa kijana, Roberto Pacheco alitamani kuwa kasisi Mkatoliki. Soma uone kilichobadili maisha yake.

“Walitaka Nijithibitishie Ukweli”

Luis Alifonso alitaka kuwa mishonari wa kanisa la Mormon. Kujifunza Biblia kulibadili jinsi gani maisha yake na malengo yake maishani?

Dawa za Kulevya na Kileo

“Mimi Si Mtumwa wa Jeuri Tena”

Siku ya kwanza katika kampuni mpya aliyoanza kuifanyia kazi, Michael Kuenzle aliulizwa, “Unafikiri Mungu ndiye anayesababisha mateso duniani?” Swali hilo lilibadilisha maisha yake kabisa.

Maisha Yangu Yalikuwa Yamepoteza Mwelekeo

Solomone alihamia Marekani, akitazamia kuwa na maisha mazuri zaidi. Kinyume cha matarajio yake, alianza kutumia dawa za kulevya na mwishowe akajikuta gerezani. Ni nini kilichomsaidia kubadili maisha yake?

Niliishi Mitaani

Maisha ya Antonio ya jeuri, dawa za kulevya, na kutumia kileo kupita kiasi yalimfanya ahisi kwamba hana kusudi maishani. Ni nini kilichomfanya abadili maisha yake?

Nilijifunza Kujiheshimu na Kuwaheshimu Wanawake

Joseph Ehrenbogen alisoma jambo fulani katika Biblia ambalo lilimsaidia kubadili kabisa maisha yake.

“Nilianza Kufikiria kwa Uzito Mwelekeo wa Maisha Yangu”

Soma jinsi kanuni za Biblia zilivyomsaidia mwanamume fulani abadili tabia na mawazo yake ili ampendeze Mungu.

Nilichoshwa na Maisha Yangu

Dmitry Korshunov alikuwa mraibu wa pombe, lakini akaanza kusoma Biblia kila siku. Ni nini kilichomchochea kufanya mabadiliko makubwa maishani na hivyo kupata furaha ya kweli?

“Hatimaye Nimepata Uhuru wa Kweli”

Jifunze jinsi kanuni za Biblia zilivyomsaidia kijana fulani kuacha kuvuta sigara, kutumia dawa za kulevya, na pombe.

Uhalifu na Jeuri

“Uhalifu na Kupenda Pesa Kuliniletea Maumivu Makubwa”

Baada ya Artan kuachiliwa kutoka gerezani, alijifunza kwamba kile ambacho Biblia inasema kuhusu kupenda pesa ni kweli.

“Mimi Si Mkatili Tena”

Ni nini kilichomchochea Sébastien Kayira kuacha maisha ya jeuri na ukatili?

“Nilikuwa Nikijichimbia Kaburi”

Ni nini kilichomchochea mwanamume aliyekuwa mshiriki wa genge nchini El Salvador kubadili maisha yake?

Sasa Nina Maoni Tofauti Kuhusu Watu

Sobantu alijifunza kweli za Biblia na kuacha ukatili. Sasa anawatembelea majirani akiwafundisha kuhusu ulimwengu ambao hautakuwa na uhalifu au majambazi.

Nilikuwa Mwenye Hasira na Jeuri

Mshiriki wa zamani wa genge fulani anaamini kuwa utu alio nao sasa unathibitisha nguvu za Biblia za kubadili maisha. Sasa anafurahia uhusiano wa karibu na Mungu.

Nilikuwa Mjeuri na Mwenye Uchungu Moyoni

Ni nini kilichofanya mpiganaji wa mtaani huko Mexico abadili utu wake?

Nipe Amani na Furaha kwa Mwaka Mmoja Tu

Alain Broggio aliguswa sana na mstari wa Biblia wa 1 Yohana 1:9.

Nilifikiri Ninafurahia Maisha

Pawel Pyzara alitumia dawa za kulevya, mwenye jeuri na alitaka na wakati uleule alitaka kuwa mwanasheria. Mambo yalibadilika alipoanzisha ugomvi na wanaume nane.

Maisha Yangu Yalizidi Kuwa Mabaya

Stephen McDowell alikuwa kijana mwenye jeuri, lakini mauaji yaliyofanywa na wenzake alipokuwa mikutanoni yalimfanya abadili maisha yake.

Nilijifunza Kwamba Yehova Ni Mwenye Rehema na Mwenye Kusamehe

Normand Pelletier aliona kuwalaghai watu kama kutumia dawa za kulevya. Hata hivyo, alitokwa na machozi aliposoma mstari mmoja tu katika Biblia.

Nilikuwa Nikipambana na Jeuri na Ukosefu wa Haki

Antoine Touma alikuwa stadi wa Kung Fu, lakini andiko la 1 Timotheo 4:8 lilibadili maisha yake.

Nilitembea na Bunduki Kila Wakati

Annunziato Lugarà alikuwa mshiriki wa genge hatari, lakini alibadili maisha yake baada ya kuhudhuria mikutano kwenye Jumba la Ufalme.

“Nilichukiwa na Watu Wengi”

Soma jinsi kujifunza Biblia kulivyomsaidia mwanamume aliyekuwa mjeuri aanze kuishi kwa amani.

Michezo, Muziki, na Burudani

Jason Worilds: Ukimtumikia Yehova, Kila Siku Ni Ushindi

Sikuzote, kumtanguliza Yehova maishani kunaleta furaha inayodumu.

Ilionekana Kwamba Nilikuwa na Kila Kitu Nilichohitaji

Stéphane alikuwa mwanamuziki kijana, aliyefanikiwa, na maarufu, hata hivyo, alijihisi kwamba hafai na maisha yake hayakuwa na kusudi. Alipataje furaha ya kweli na kusudi maishani?

Tuzo Bora Zaidi Maishani

Ni nini kilichomchochea mchezaji wa tenisi wa kulipwa kuwa mhudumu wa Biblia?

“Nilipenda Sana Karate”

Erwin Lamsfus alimuuliza rafiki yake hivi: “Umewahi kujiuliza kuhusu kusudi la uhai?” Jibu alilopewa lilibadili maisha yake.

Nilishindwa Mara Nyingi Kabla ya Kushinda

Mwanamume fulani aliwezaje kushinda uraibu wa kutazama ponografia na kupata amani ya akili inayoahidiwa na Biblia?

Biblia Inabadili Maisha—Aprili 2013

Ingawa alikuwa mwanamuziki mwenye mafanikio, Esa alijua kwamba hakuwa na kusudi maishani. Soma uone jinsi mwanamuziki huyo alivyopata furaha.

Nguvu Zinatokana na Kumtumikia Yehova

Mstari mmoja wa Biblia ulimthibitishia Hércules kwamba anaweza kubadili utu wake wenye jeuri na kuvaa utu mpya ulio mtulivu na wenye upendo zaidi.

Nilipenda Mchezo wa Besiboli Kuliko Kitu Kingine Chochote!

Samuel Hamilton alikuwa mchezaji wa kulipwa, lakini kujifunza Biblia kulibadili maisha yake.

“Ahadi ya Dunia Kuwa Paradiso Ilibadili Maisha Yangu”

Ivars Vigulis aliishi maisha ya umashuhuri, umaarufu, na msisimko kutokana na mashindano ya pikipiki. Mafundisho ya Biblia yalibadilije maisha yake?