Hamia kwenye habari

Kutangaza Kweli za Biblia

Chunguza mambo ambayo Mashahidi wa Yehova wamejionea wanapotangaza ujumbe wa kweli za Neno la Mungu kwa watu wengi iwezekanavyo.

Simu ya Umma Inayotumiwa Kujifunza Biblia

Daiane alianzishaje mafunzo kadhaa ya Biblia katika kijiji cha mbali ambapo hakuna umeme au Intaneti?

Matokeo Aliyopata Yalimshangaza

Desicar, mama ambaye hana mwenzi aliwezaje kutumia njia mpya katika huduma yake wakati wa janga la COVID-19?

Walithamini Barua Zake

Kumekuwa na matokeo gani mazuri kwa kuhubiri kupitia kuandika barua?

“Nilikuwa Nikisubiri Mnipigie Simu”

Kwa nini wenzi fulani wa ndoa wanafurahi kwamba walijipa ujasiri wa kuhubiri kupitia simu?

Msaada kwa Wafanyakazi wa Hospitali Wanaokabiliana na Mkazo

Wafanyakazi wa hospitali moja wamepataje kitia-moyo katika kipindi hiki cha ugonjwa wa COVID-19?

Waliendelea Kuhubiri Licha ya Janga

Ndugu na dada wadumisha shangwe yao kwa kuwa na mtazamo mzuri wanapojaribu kubadili njia yao ya kushiriki na wengine ujumbe unaofariji wa Biblia.

Mafuriko Yaliyotokeza Habari Njema

Baada ya mvua kubwa, vijiji nchini Nikaragua vilipata msaada kutoka chanzo ambacho hawakutarajia.

Sala za Mwanamke Kipofu Zajibiwa

Mingjie alisali kwa Mungu amsaidie kuwapata Wakristo wa kweli. Ni nini kilichomfanya ajue kwamba sala zake zilijibiwa?

Mmoja Aanza Kujifunza Biblia Hatimaye Wengi Wanajiunga Naye

Mashahidi wa Yehova nchini Guatemala waliwafikia watu wengi wanaozungumza Kikekchi na kuwafundisha kweli za Biblia.

Kasisi Apata Majibu

Kasisi mmoja na mke wake walilia kwa uchungu baada ya mwana wao kufa. Lakini walipata majibu yenye kuridhisha kwa maswali yao kuhusu kifo.

Walidhani Ni Kasisi

Shahidi mmoja wa Yehova nchini Chile alipata fursa ya pekee ya kuhubiri habari njema na kueleza kwamba Mungu hakukusudia wanadamu wafe.

Kusafiri Kwenye Mto Maroni

Kikundi cha Mashahidi 13 wa Yehova kilifunga safari ya kuwahubiria watu wanaoishi katika maeneo ya mbali kwenye msitu wa mvua wa Amazon huko Amerika Kusini.

Joseph Asindikizwa na Polisi

Polisi katika kisiwa kidogo waliwasaidiaje Mashahidi wa Yehova kuhubiri habari njema kuhusu Ufalme wa Mungu?

Walisimama na Kusaidia

Kwa nini vijana watano waliamua kuvumilia theluji na baridi ili kumsaidia jirani?

“Tendo Moja Dogo la Unyoofu”

Soma sababu iliyomfanya Shahidi wa Yehova nchini Afrika Kusini afanye jitihada kubwa za kurudisha mfuko na pochi zilizoachwa kwenye mkahawa.

“Ninafanya Ninachoweza”

Ingawa anakaribia umri wa miaka 90, barua za Irma zinazotegemea Biblia zinagusa mioyo ya wengi wanaozipokea.

Waambie Unawapenda

Jifunze jinsi Biblia ilivyosaidia familia fulani kuwa na uhusiano wenye upendo na furaha zaidi

“Hiyo ni Mbinu Mpya!”

Walimu, washauri na wengine wanafurahia kutumia video zinazopatikana katika tovuti ya jw.org.

Tendo Moja la Fadhili za Kikristo

Tendo moja la fadhili lilimsaidiaje mtu aliyekuwa mpinzani kupendezwa na kweli za Biblia?

Usivunjike Moyo Kamwe!

Hupaswi kamwe kuvunjika moyo na kufikiri kwamba mwishowe mtu fulani hatakubali kweli. Soma kuhusu watu fulani waliofanya hivyo na kwa nini.

Hulda Alifikia Lengo Lake

Hulda alifaulu jinsi gani kupata tablet ambayo ingemsaidia katika huduma na kwenye mikutano ya Kikristo?

Kampeni Iliyopangwa Vizuri Yanafanikiwa

Soma kuhusu jinsi msichana wa-miaka-kumi alivyojitahidi kuwaalika katika tukio la pekee wote waliozungumza lugha ya Mapudungun shuleni mwao.

Usiangalie Sura ya Nje Tu!

Mambo yalikuwaje Shahidi wa Yehova alipozungumza kwa subira na mtu aliyejitenga na watu na mwenye kuudhi aliyeishi mtaani?