Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 15-21/5

2 MAMBO YA NYAKATI 22-24

Tarehe 15-21/5
  • Wimbo 73 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

  • Yehova Anabariki Matendo ya Uhodari”: (Dak. 10)

  • Mali ya Kiroho: (Dak. 10)

    • 2Ny 24:22​—Namna gani ombi ya kiunabii ya Zekaria ilitimia? (it-2-F uku. 1231 fu. 10)

    • Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo ingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 2Ny 22:1-12 (th somo ya 5)

TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI

MAISHA YA MUKRISTO