Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Yosia anapasua nguo yake wakati anasikia Sheria ya Yehova yenye iko nasomwa kwa sauti

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Uko Nafaidika Kabisa na Neno ya Mungu?

Uko Nafaidika Kabisa na Neno ya Mungu?

Yosia alisikiliza Neno ya Mungu kwa uangalifu (2Ny 34:18, 19; ona picha ku jalada)

Alijikaza sana kuelewa maana ya mambo yenye alikuwa anasikia (2Ny 34:21; it-1-F uku. 1152 fu. 6)

Alitumikisha mambo yenye alijifunza (2Ny 34:33; w09-SW 15/6 uku. 10 fu. 20)

UJIULIZE HIVI: ‘Ninatumikishaka bila kukawia mambo yenye nimejifunza juu ya Yehova mu Neno yake Biblia?