Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

MAISHA YA MUKRISTO

Yehova Ni “Baba ya Watoto Wenye Hawana Baba”

Yehova Ni “Baba ya Watoto Wenye Hawana Baba”

Kila mwaka, vijana wengi wanaamua kuwa marafiki wa Yehova. (Zb 110:3) Yehova anahangaikia kabisa kila mumoja wenu. Anaelewa magumu yenye munapambana nayo, na anaahidi kama atawasaidia ili muendelee kumutumikia. Kama uko mu familia ya muzazi mumoya, kumbuka kama Yehova ni “baba ya watoto wenye hawana baba.” (Zb 68:5) Hata hali ikuwe namna gani ku nyumba, Yehova anaweza kukuzoeza juu upate matokeo ya muzuri.​—1Pe 5:10.

MUANGALIE VIDEO WANAPATA MATOKEO YA MUZURI KWA KUPIGANIA IMANI YAO​—WALE WENYE KUKOMALISHWA NA MUZAZI MUMOJA, NA KISHA MUJIBIE MAULIZO YENYE KUFUATA:

  • Mufano wa Tammy, Charles, na Jimmy unakufundisha nini?

  • Mu Zaburi 27:10 muko maneno gani yenye kutia moyo kwa ajili ya wale wenye kukomalishwa na muzazi mumoya?