MUNARA WA MULINZI Mwezi wa 5, 2014 | Kuna Mutu Anayeweza Kujua Wakati Unaokuja

Jibu la ulizo hilo linaweza kubadilisha maisha yako.

HABARI KUBWA

Matabiri Fulani Yametimia, Mengine Mengi Hayakutimia

Ni nani anayejulikana kuwa anatabiri wakati unaokuja bila kukosea?

HABARI KUBWA

Kuna Mutu Anayeweza Kujua Wakati Unaokuja?

Kuna unabii fulani wenye kutegemeka unaohusu wakati unaokuja.

MAZUNGUMUZO YA BIBLIA PAMOJA NA JIRANI

Mashahidi wa Yehova Wanaamini Yesu?

Ikiwa wanamuamini, sababu gani hawajiite Mashahidi wa Yesu?

Je, Ulijua?

Sababu gani Wayahudi walimuomba Pilato miguu ya Yesu ivunjwe? Daudi angeweza kumuua kabisa Goliathi kupitia kombeo tu?

TUIGE IMANI YAO

Alivumilia Maumivu ya Moyoni Yaliyokuwa Kama ya Upanga

Mufano wa Maria, mama ya Yesu, unaweza kukusaidia ikiwa unapatwa na maumivu ya moyoni yaliyo kama ya ‘upanga murefu.’

Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa

Ikiwa Mungu ndiye mwenye kutawala dunia, sababu gani inajaa mateso?