Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

“Shangilia”

“Shangilia”

Pakua:

  1. 1. Tazama ju‘; angani.

    Na jua ni tamu.

    Baraka za Mungu—zatufanya tusitawi.

    Pia ametupa, zawadi nzuri; ni ya upendo.

    (KORASI)

    Sifa Yehova tumwimbie.

    Tumwabudu yeye—

    Ni shangwe isiyo kifani,

    Hata iwe nini.

    Shangilia! Shangilia!

    Shangilia! Shangilia!

  2. 2. Undugu familia—

    Umoja furaha—

    Baraka za Mungu, ni umoja wenye nguvu.

    Tukikandamizwa, shangwe moyoni itadumu.

    (KORASI)

    Sifa Yehova tumwimbie.

    Tumwabudu yeye—

    Ni shangwe isiyo kifani,

    Hata iwe nini.

    Shangilia! Shangilia!

    Shangilia! Shangilia!

    (DARAJA)

    Dunia paradiso daima milele.

    Kwa dhabihu ya Yesu sisi tu huru.

    (KORASI)

    Sifa Yehova tumwimbie.

    Tumwabudu yeye—

    Ni shangwe isiyo kifani,

    Hata iwe nini.

    Shangilia! Shangilia!

    Shangilia! Shangilia!

    Shangilia! Shangilia!

    Shangilia! Shangilia!

    Shangilia! Shangilia!

    Shangilia! Shangilia!

    Shangilia!